; Sherehe ya kutangaza Vivutio Saba vya Asili Barani Afrika kufanyika jijini Arusha Tanzania tarehe 11 February 2013 » Tanzania Tourist Board
 
Language English Kiswahili

Sherehe ya kutangaza Vivutio Saba vya Asili Barani Afrika kufanyika jijini Arusha Tanzania tarehe 11 February 2013

By: Geofrey Tengeneza

Sherehe za kutangaza vivutio vya asili vya bara la Afrika zinategemea kufanyika katika hoteli ya Mt Meru katika jiji la Arusha Tanzania tarehe 11 February 2013 kuanzia saa nane mchana.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Bodi ya Utalii Tanzania viongozi mbali mbali wa kitaifa na kimataifa ambazo wanatarajiwa kuhudhuria sherehe hiyo ambayo mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Rais wa Taasisi iliyoendesha shindano hilo la kutafuta Maajabu hayo Saba la Seven Natural Wonder Dr Philip Imler kutoka Marekani anatarajiwa kuwasili tarehe 9/2/2013 tayari kabisa kutangaza vivutio Saba vya Asili vya bara la Afrika.

Tanzania ilikuwa na vivutio vitatu vilivyoingia kwenye kinyanganyiro hicho ambavyo ni Mlima wa Kilimanjaro, Bonde la Ngorongoro na wanyama wanaohama wa Seregeti. Tanzania imekwisha tajwa kuwa miongoni mwa washindi ambao angalau kivutio kimoja ama zaidi Saba ya Asili Afrika.

Macho na masikio ya watanzania ni kujua ni kivutio au vivutio gani hivyo vya Tanzania vimeweza kushinda.

 

 

 

Contact Information

Contacting us by post Tanzania Tourist Board
IPS Building, 3rd Floor
P.O.Box 2485
Dar-es-Salaam
Tanzania.
Contacting us by email info@tanzaniatourism.go.tz
Contacting us by telephone
General (+255) 022 2111244/5
Managing Director 2110908
Marketing 2111345
Tourism Services 2128472
Research 2111514
Contacting us by fax (255) 022 2116420

Did you know

that Ruaha National Park is the best Winter trip destination for 2013? "By the National Geographic Traveler Magazine"

nero free download
daemon tools free download
roxio creator free download
download angry birds for pc free
adobe master collection cs5 serial
wpe pro free download
microsoft office 2007 free download